HOTUBA YA RAIS JOHN MAGUFULI BAADA YA UTILIAJI SAINI WA UJENZI WA RELI YA SGR MWANZA – ISAKA
2021/01/08 Chato
Jamani, habari za asubuhi?
Mheshimiwa waziri Wang Yi,
Waziri wa mambo ya nje kutoka China,
mheshimiwa profesa Kabudi, waziri wa mambo ya nje kutoka Tanzania,
Waheshimiwa mawaziri wote mlioko kwa upande wa Tanzania
na mawaziri upande wa China
makatibu wakuu, watendaji mbalimbali, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,
na wakuu wa taasisi mbalimbali mlioko hapa, nami…
[ukalimani]
Nami napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza
kampuni ya Kichina iliyoshinda tenda ya kujenga kilomita 341
za ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Mwanza hadi Isaka
Na mimi nina matumaini kwamba watafanya kazi kwa uadilifu mkubwa … →