Uhuru 在 Raila 葬礼上的演讲全文

2025年10月17日,内罗毕 Nyayo 国家体育场 (Nyayo National Stadium) 为 Raila Odinga 举行国葬时前总统 Uhuru Kenyatta 所作演全文:
视频链接:https://www.facebook.com/watch/?v=796698076503388

Asanteni sana
Asanteni sana
Mama. Mama Aida Odinga, Rosemary.
Asanti sana nimeshukuru, thank you.
Asanteni sana. Asanteni Asanteni
Nianze tena niseme Mama Aida Odinga, Rosemary, Junior, Winnie na familia yote ya mwendazetu rafiki wetu Mheshimiwa Raila Omolo Odinga
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mheshimiwa William Samoi Ruto na First Lady Mama Rachel Ruto, viongozi wa nchi za kigeni na majirani ambao wametutembelea kuja kuomboleza na sisi, waombolezaji wenzangu, hamjambo!
(Hatujambo)
Hamjambo tena!
Asanteni sana!
Tuko hapa pamoja kama wakenya, kusherehekea maisha ya mkenya mwenzetu kiongozi, rafiki yangu, lakini nilimpenda kama ndugu yangu.
Mheshimiwa Raila Omolo Odinga vile tumeambiwa hapa tulimjua kwa majina tofautitofauti. Agwambo, Jakom, Tinga, lakini kama wakenya, kutoka kona zote tulimjua tukamuheshimu kama baba.
Na tulimwita baba kwa sababu mheshimiwa Raila Omolo Odinga alipenda nchi yake Kenya kuliko kitu kingine chochote.
… 

 

卢伊亚语中部方言的名词系统

肯尼亚西部的卢伊亚语方言众多,最北边的布库苏语和最南边的马拉戈力语之间差别很大,甚至有一部分卢伊亚人自己都怀疑马拉戈力语还是否属于卢伊亚语的一部分。另一方面,位处东南地区的马拉戈力语语区(现在肯尼亚的韦希加郡, 与卡卡梅加郡临近)又是肯尼亚殖民史阶段最早接触制式教育的地区,所以殖民时期的很多文献特别是来自卢伊亚人自己的叙述,这些作品的作者很大一部分实际上母语都是卢伊亚语里较为另类的马拉戈力语。这种情况造成的后果是,到目前为止都没有一个所谓普通话的卢伊亚语,就更难研究不同的卢伊亚语之间词汇和语法上的差别到底如何了。

到目前位置最为完善的卢伊亚语的语言描述性文献来自殖民时期在英国圣公会差会 (CMS)教会里工作的女性,名叫L·L·阿普比(Appleby)。这本叫做《第一部附带练习的卢伊亚语语法1》第一次出版是1947年,50年增加了章节,51年58年又重印两次,等到1961年的时候又有了修改版,所以说阿普比将很多心力和经验都投入在这部作品里。美国密苏里大学的马尔洛(Marlo)在2007年在博士论文里猜测阿普比的语法基于旺加语、基撒语和马拉马语,可能还有一部分尼奥雷语的部分2(Marlo2017:143)。这个说法很可能是对的,因为至少英国圣公会差会就位于马拉马语区的布特雷(Butere)。在这篇文章里整理的卢希亚语就暂时命名为卢希亚语中部方言。

… 

  1. Appleby, L. L. 1961. A First Luyia Grammar with excercises. Dar es Salaam / Nairobi / Kampala: The East African Literature Bureau. []
  2. 关于卢伊亚语不同方言的语区和使用人数,见这里 []
  3. Marlo, Michael R. 2007. The Verbal tonology of Lunyala and Lumarachi: two dialects of Luluyia (Bantu, J.30, Kenya). Unpublished Disseration. []